Kenyan Madness Abroad

Will this turn out to be the elusive outlet for me to unleash my creative genius on an unsuspecting world? Or is it destined to be nothing more than a hi-tech pen and pad chronicling the ramblings of a delusional mind? You be the judge ... Just so ya know there's a disclaimer: This blog contains strong language and some adult situations. Viewer discretion is advised.

My Photo
Name:
Location: United States

Cultural, expressive, thoughtful dude. It's not all good though coz I am also an internet addict, and a sometime stalker too. But I am happy to say I am in therapy for the internet thing :)

Wednesday, October 30

Mchongoano

Nothing generates a good chuckle like Mchongoano. Ahh the good ol' days ...

Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu

Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama

Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction

We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya

Sistako mshort aneza temebea chini ya bed

Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass

Ati uligongwa na gari ya TRUST instead ya kuumia ukanyonji

First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'

Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine

Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma

Wewe ni fala mpaka uikiingia kwa KBS unapiga hodi na unatoa viatu

Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta

Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa

Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted

Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa

Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya

Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic

Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa

TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja

Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist

Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute

Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu

Wewe ni mrefu mpaka ukivaa trao inaisha fashion kabla ifike kwa waist

Wewe ni fala unarewind CD na biro pen

Breathe yako sumu ukiyawn asubuhi jogoo hudedi

Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi

Maskio yako kubwa ukiingia hoteli chai inapoa

Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers

Balls zako bigi sana mpaka ukipiga shower unaziweka kwa rack zikauke

Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji

Mapua zako bigi, ukingia class charts zinaanza kudunda

Mdomo kubwa kama bakuli ya jela

We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo

We mrefu mpaka ukianza kuvaa handa by the time ifike kwa magoti ime rust

Paka yenyu imeona mamovie mpaka ikifuata panya inalia tereng! tereng!

Uko mweusi mpaka kwa night class unashow meno ndio usimakiwe absent

Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi

Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua

Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump

We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu

Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati

Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi

Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa

Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool

Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa

Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport

We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers

We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch

Ulimeza cassette ya koffi ukanyamba ndombolo

Kwenu muko wengi mpaka mathe hupika chapo mbili zingine anafanya photocopy ndio yeye na fathe wakule original

Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke

Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree

Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa

Kichwa kama basi ya bed ford ya zamani

We ni mrefu mpaka usiku miguu zinalala kwa jirani

Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo

We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja

We mrefu mpaka KQ wanakuitia job ya kupanguza dirisha za ndege

Budako huhepa job ku-slide na socks

Mathako ana matiti makubwa akimaliza kuoga ye huzifunga na shower curtain badala ya bra

Kwenu nyi ni ma-miser mpaka price ya colgate ikipanda mnateta na hamna meno

We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga

Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"

Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu

Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje

Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen

Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest

Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch

We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado

We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga

Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu

Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo

We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"

Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma

Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima

Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua

Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka

Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate

Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi

Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.

Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu

Asubuhi Asubuhi kokoto na kumi kumi

Asubuhi Asubuhi Patco na mapera

Asubuhi asubuhi toast mayai na jasho ya makende

Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia

Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G

Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe

Asubuhi asubuhi koo na omena

Asubuhi asubuhi makaa na maji ya sukuma

Asubuhi asubuhi mabuyu na cools

5 Comments:

Anonymous Anonymous said...

U guy , this is so hilarious

11:22 AM  
Anonymous Anonymous said...

man this is clasic i kne about 70 percent thanks for reminding me the rest,

kenyan damu

4:01 PM  
Anonymous Anonymous said...

funny!

2:09 AM  
Blogger itsloltime said...

lolest!

http://itsloltime.blogspot.com

10:42 PM  
Anonymous p said...

mchongoano kweli

7:40 AM  

Post a Comment

<< Home

Free Web Counters
Online College Degree